Nav bar

Jumatano, 6 Machi 2024

MHE. ULEGA ARIPOTI SENTRO

 


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (kulia) akifafanua jambo wakati akizungumza na Watangazaji wa Kipindi cha Sentro kinachorushwa na Clouds TV moja kwa moja  kutoka jijini Dodoma Februari 9, 2024.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (wa pili kulia) akizungumza na Watangazaji wa Kipindi cha Sentro kinachorushwa na Clouds TV moja kwa moja kutoka jijini Dodoma  Februari 9, 2024.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Watangazaji wa Kipindi cha Sentro kinachorushwa na Clouds TV muda mfupi baada ya kumaliza kushiriki katika kipindi hicho kutokea jijini Dodoma leo Februari 9, 2024.

 


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni