Nav bar

Jumatano, 19 Agosti 2020

PICHA KILELE CHA MAONYESHO YA NANENANE MKOANI ARUSHA TAREHE 09/08/2020

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua ng'ombe bora kwenye kilele cha maadhimisho ya maonyesho ya nanenane Mkoani Arusha (09/08/2020) 

 


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akipata maelezo kutoka kwa msambazaji wa madini ya Mifugo kutoka kampuni ya usambazaji wa madini (JOSERA), Bw. Elirehema Laizer alipotembelea banda la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye kilele tea maadhimisho ya maonyesho ya nanenane Mkoani Arusha (09/08/2020) 


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akiangalia mashine ya kukatia nyama kwenye banda la SIDO alipotembelea kwenye kilele cha maadhimisho ya maonyesho ya nanenane Mkoani Arusha (09/08/2020) 

 


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akiongea na wananchi (hawapo pichani) kwenye maadhimisho ya kilele cha maonyesho ya nanenane Mkoani Arusha (09/08/2020) 


 

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. abdallah Ulega akimpongeza Bw. Anthony Fabian Mnyanganyile kwa kutoa elimu kwa wadau na wananchi wote juu ya nyavu haramu na nyavu sahihi kwa uvuvi kwenye kilele cha maadhimisho ya maonyesho ya nanenane Mkoani Arusha (09/08/2020) 



Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua mazao katika moja ya mabanda ya kilimo kwenye kilele cha maonyesho ya nanenane Mkoani Arusha (09/08/2020) 


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni