Nav bar

Jumanne, 2 Julai 2019

HABARI PICHA



Kaimu  Mkurugenzi  Msaidizi  wa  Mazao  ya  Mifugo, Usalama  wa  Chakula  na  Lishe  Bw. Gabriel  Bura  mwenye  shati  la  mistari  (kulia),  Bw. John  Chobo  kushoto  pamoja  na picha  ya  pamoja  na  Afisa  Mfawidhi  kituo  cha  Uchunguzi  wa  Magonjwa  ya  Mifugo Mwanza  Bi. Subira  Samwel,  na  wafanyakazi  wa  kiwanda  cha  nyama  cha  Chobo  walipoenda  kutembelea  kiwanda  hicho  kilichopo  katika  Wilaya ya  Misungwi  jijini Mwanza

Bw. Gabriel  Bura Kaimu  Mkurugenzi  Msaidizi  wa  Mazao  ya Mifugo  na  Usalama wa  Chakula  na  Lishe  akishuhudia  hatua  za  uchinjaji  wa  mbuzi  kuanzia mwanzo hadi kufikia hatua ya kuwekwa kwenye chumba cha baridi tayari kwa kusafirisha  kwa wateja katika kiwanda cha Chobo Investment  alipoenda kwenye ukaguzi  jijini  Mwanza. (25.6.2019)

Kaimu  Mkurugenzi  Msaidizi  wa  Mazao  ya  Mifugo,  Usalama  wa  Chakula na Lishe  Bw. Gabriel  Bura  katika  picha  mbalimbali  alipotembelea  chuo cha mafunzo  ( DIT) tawi la  Mwanza na kujionea shughuli na mafunzo yatolewayo chuoni hapo  jijini Mwanza.(25.6.2019)


Bw. Gabriel  Bura  Kaimu  Mkurugenzi  Msaidizi  wa  Mazao  ya  Mifugo  Usalama  wa Chakula  na  Lishe  akipata taarifa mbalimbali  kutoka  kwa  mmoja  wa  walimu  wa chuo  hicho Bw. William  Lohai  alipoenda  kutembelea  chuo  hicho  jijini  Mwanza.(25.6.2019)


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni