Nav bar

Alhamisi, 31 Machi 2016

KAMATI YA BUNGE YA KILIMO,MIFUGO NA UVUVI WATEMBELEA KISIWA TENGEFU CHA BONGOYO TAREHE 31/03/2016

NAIBU WAZIRI WA KMU MHE.WILLIAM OLE TATE NASHA MWENYE SHATI LA DRAFTI KATIKATI AKIONGEA NA WABUNGE WA KAMATI YA KILIMO,MIFUGO NA UVUVI KABLA  YA KUONDOKA  ENEO LA SLIPWAY TAYARI KWENDA KWENYE HIFADHI TENGEFU YA KISIWA CHA  BONGOYO


WABUNGE WA KAMATI YA KILIMO,MIFUGO NA UVUVI WAKIWA KWENYE BOTI KUELEKEA VISIWA TENGEFU VYA BONGOYO










NAIBU WAZIRI  KMU MHE.WILLIAM OLE TATE NASHA AKIWAKARIBISHA WABUNGE KATIKA VISIWA TENGEFU VYA BONGOYO

WABUNGE WA KAMATI YA KILIMO,MIFUGO NA UVUVI WAKIPITIA KWA MAKINI TAARIFA ILISOMWA NA MTENDAJI MKUU WA TAASISI YA MARINE PARK RESERVE UNIT DKT MACHUMU




DKT. MACHUMU  AKITOA MAELEZO KUHUSU HIFADHI TENGEFU YA KISIWA CHA  BONGOYO MBELE YA KAMATI YA BUNGE YA KILIMO,MIFUGO NA UVUVI,KULIA KWAKE NI NAIBU WAZIRI WA KMU MHE.WILLIAM OLE TATE NASHA NA MWEKITI WA KAMATI HIYO MHE.MARY NAGU



WABUNGE WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI BW.MAHENGE AKIELEZEA JINSI WANAVYOSHIRIKIANA NA JAMII INAYOZUNGU VISIWA HIVYO VYA BONGOYO KUHAKIKISHA WANADUMISHA UHIFADHI ENDELEVU







MKUU WA DORIA NA UVUVI HARAMU BW.EMMANUEL BULAY AKIELEZEA ATHARI ZA UVUVI HARAMU  KWA WABUNGE




WARSHA YA KITAIFA YA WADAU WA SEKTA YA KILIMO,BLUE PEARL HOTEL,TAREHE 30 MARCH 2016





MGENI RASMI  NAIBU WAZIRI WA KMU MHE. WILLIAM TATE OLE NASHA AKIFUNGUA  WARSHA YA KITAIFA YA WADAU WA SEKTA YA KILIMO,BLUE PEARL HOTEL
MWENYEKITI WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA (ACT) DKT. SINARE YUSUPH SINARE AKITOA MAELEZO MAFUPI JUU YA WARSHA HIYO  KABLA YA KUMKARIBISHA MGENI RASMI 

WASHIRIKI WA WARSHA YA KITAIFA YA WADAU WA KILIMO  WAKIWA TAYARI KUSIKILIZA HOTOBA YA  MGENI RASMI

BALOZI WA NORWEY MHE. HANNE-MARIE KAARSTAD AKITOA MAELEZO JUU YA  WARSHA HIYO,NORWEY NI NCHI MOJAWAPO INAYOFADHILI  MIRADI MINGI YA KILIMO  TANZANIA.





Jumatano, 30 Machi 2016

TENDER NO. ME/021/2015-16 FOR EXPRESSION OF INTEREST FOR SOUTH WEST INDIAN OCEAN FISHERIES GOVERNANCE AND SHARED GROWTH PROGRAM (SWIOFISH)


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES
(FISHERIES)


SOUTH WEST INDIAN OCEAN FISHERIES GOVERNANCE AND SHARED GROWTH PROGRAM (SWIOFish) PROJECT-
IDA CREDIT No.5589-TZ

REQUEST FOR EXPRESSIONS OF INTEREST

                                                       FOR            

TENDER No.ME/021/2015-16/SWIOFish/C/01 PROVISION OF CONSULTANCY SERVICES TO CONDUCT INSTITUTIONAL SUPPORT AND TECHNICAL BACKSTOPPING FOR PRIORITY MARINE FISHERIES RESEARCH IN TANZANIA

This invitation for Expression of Interest (EoI) follows the General Procurement Notice for the South West Indian Ocean Fisheries Governance and Shared Growth program – SWIOFish that was published in the Development Business, issue No. WB 4892 of October, 2015.

The Government of United Republic of Tanzania has received a Credit from the International Development Association (IDA) towards the cost of the SWIOFish program and intends to apply part of the proceeds for the consultancy Institutional support and technical backstopping for priority marine fisheries research in Tanzania

The objective of the consultancy services will be to provide technical backstopping to the SWIOFish Tanzania Project Research Committee (PRC) in respect of priority marine fisheries research activities conducted under the SWIOFish project, with the aim of contributing a broader regional/international perspective, experience and expertise in ensuring high quality research outputs.
The priority marine fisheries in question are tuna and tunalike species; small pelagics; prawns; octopus; and reef fisheries.

The services include:-
i)     Consult closely with Directors of SWIOFish Tanzania implementing agencies for Mainland Tanzania and Zanzibar and the SWIOFish Project Research Committee (PRC).
ii)    Provide Technical backstopping to the SWIOFish Project Research Committee (PRC) during preparation of ToRs for marine fisheries research tasks, in reviewing proposals submitted by research institutions, and reviewing research outputs;
iii)  Maintain regular liaison with national research institutions and researchers approved by the PRC to implement SWIOFish research activities;
iv)  Provide Mentoring and capacity building to PRC members

The Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries (MALF) now invites eligible and qualified consultants firms to express their interest in providing the specified service.  Interested consultants must provide information indicating that they are qualified to perform the services (brochures, description of similar assignments, experience in similar conditions, availability of appropriate skills among staff, etc.). Consultants may associate to enhance their qualifications.

A consulting firm will be selected in accordance with the procedures set out in the World Bank’s Guidelines: Selection and Employment of Consultants by World Bank Borrowers; January 2011 revised July,2014.The Procurement Method will be Consultant Qualification Selection (CQS).

Interested consulting firms may obtain further information at the address below during office hours from 08:00 to 15:30 hours on Mondays to Fridays except on public holidays.

Expression of Interest in one original plus two (2) copies enclosed in a sealed envelope, clearly marked TENDER No.ME/021/2015-16/SWIOFish/C/01 Expression of Interest to Conduct Institutional support and technical backstopping for priority marine fisheries research in Tanzania”must be delivered to the address below by 10.00 hours local time on Tuesday 12thApril, 2016 at Mvuvi House Room No. 2. Late Expressions of Interest shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.


Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries
Veterinary Complex, 131 Nelson Mandela Road
P.O.Box 9152, 15487 Dar es Salaam, Tanzania

Tel. No: +2252228619110, Fax No: +255222861

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA WAKALA WA ELIMU NA MAFUNZO YA UVUVI FETA - BAGAMOYO TAREHE 30/03/2015

Samaki aina ya kambale 

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba afungua mkutano na kuwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge waliotembelea FETA Mbegani Bagamoyo

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Kilimo Mifugo na Maji Mhe. Mary Nagu na wanakamati wengine wakiangalia meli za uvuvi zinazotumika kwa ajili ya mafunzo na Utafiti

meli inayotumika kwa ajili ya utafiti

mabwawa ya kufugia samaki wa maji chumvi na maji baridi

Chakula cha samaki





Alhamisi, 24 Machi 2016

BOTI ZA DORIA KUTOKA WIZARA YA KILIMO MIFUGO NA UVUVI ZIKISAFIRISHWA KWENDA VITUO MBALIMBALI KWA AJILI YA KUZUIA UVUVI HARAMU

Moja wapo ya juhudi za serikali kudhibiti uvuvi haramu, serikali imenunua boti kwa ajili ya kupeleka katika vituo vya Mbamba bay - Ruvuma, Kasanga - Rukwa, Ikola - Katavi na Mkoa wa Mwanza

Muonekano wa ndani ya Boti

boti zikipakiwa kutoka Wizarani tayari kwa kusafirishwa



ZIARA YA KAMATI YA KUTATHMINI VITALU VYA WAWEKEZAJI KATIKA RANCHI ZA NARCO MKOANI KAGERA

 Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania  Mhe. Kassim M. Majaliwa  akiwaonesha wananchi mchoro wa muonekano wake uliochorwa na wakazi wa Misenyi Bukoba kwenye mkutano wa hadhara katika ranchi ya missenyi.

 Katibu Mkuu Wizara ya kilimo Mifugo na Uvuvi Dkt. Maria Mashingo akiangalia moja ya josho lilojengwa na Mwekezaji kwenye  vitalu vya Ranchi za Narco  

Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba akiangalia ng'ombe  aina ya Borani katika Ranchi ya  Kitengule kitalu na 9 cha Bw. Charles Rwantondogo Bukoba.

 Lambo la maji lililojengwa na mwekezaji kwa ajili ya kunyeshea ng'ombe katika ambapo ni moja ya miundo mbinu katika vitalu hivyo

Baadhi ya wanakamati wakijadili jambo baada ya kuona lambo hilo


 Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba akiangalia jinsi ng'ombe wanavyoogeshwa katika kitalu no 9

Wanakamati wakipata maelezo kutoka kwa wawekezaji (hayupo pichani) juu ya historia ya shamba lake, mafanikio na changamoto zilizopo 


Ng'ombe kutoka Uganda waliongia bila vibali wameshikiliwa katika Ranchi ya Missenyi baada ya kukamatwa wakichunga ndani ya Ranchi za wawekezaji kutoka Tanzania

Wajumbe wa kamati ya kutathmini maeneo ya Wawekezaji katika vitalu vya Ranchi za NARCO wakiwa na aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Bw. John Mongela watatu kulia akifatiwa na Katibu Mkuu Sekta ya Mifugo Dkt. Maria Mashingo


WORKSHOP ON MAKING MARKETS INCLUSIVE FOR SMALLHOLDER FARMERS WHO ARE THE BACKBONE OF TANZANIAN'S AGRICULTURE HELD AT SERENA HOTEL

The opening speech for Honorable William Tate Ole Nasha on "smallholder farmers", Deputy Minister for Agriculture, Livestock and Fisheries at Serena Hotel

 Representatives  from Government Institution, Development partners, private Sector and Non - government Organisation discussing on agricultural Sector for smallholder farmers

Hon. William Tate Ole Nasha, Deputy Minister for Agriculture, Livestock and Fisheries, discuss on making markets inclusive  with Residents Representatives, Aga Khan Foundation as Agricultural Sector is concerned

 Delivery Speech on "Making Inclusive for smallholder farmers" hosted by  Country Director The Aga Khan Foundation



Alhamisi, 17 Machi 2016

KAMPENI YA KUHAMASISHA KUACHA MAUAJI BAINA YA WAKULIMA NA WAFUGAJI WILAYA KILOSA TAREHE 16 MACHI 2016


Mwanafunzi wa shule ya msingi ya Mabwerwerwe akipatiwa tshirt na Afisa Mawasiliano inayosema Tusipigane Tuzungumze Wakulima na Wafugaji Tushirikiane Kudumisha Amani katika kijiji cha Parakuyo
Bw. Inzelewe Mkuu wa Wilaya ya Kilosa akizungumzia migogoro ya Wakulima na Wafugaji katika kijiji cha Iparakuyo Wilaya ya Kilosa
Maafisa wakisikiliza kwa makini taarifa inayotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Bw. Inzelewe kuhusu kero za wakulima na wafugaji
Shule ya Msingi na Secondary wapatiwa madawati na vitabu na Maafisa Mawasiliano kutoka Wizara, Halmashauri na Taasisi mbalimbali kijiji cha Twa Twa Twa

Jumatatu, 14 Machi 2016

WAZIRI MHE NAPE NNAUYE AFUNGUA MKUTANO WA KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAWASILIANO SERIKALINI KATIKA UKUMBI WA VETA MOROGORO LEO TAREHE 14 MACHI 2016

Mhe. Nape Nnauye Waziri wa  Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Mawasiliano kutoka  Wizara, Halmashauri na Taasisi za mbalimbali za kiserikali 

 Mhe. Nape Nnauye Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akifungua mkutano wa 11 wa kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano serikalini katika ukumbi wa VETA, Morogoro.
Maafisa Mawasiliano kutoka Wizara, Halmashauri na Taasisi mbalimbali wakisikiliza kwa makini taarifa inayotolewa na Mhe. Waziri Nape Nnauye