Nav bar

Jumatatu, 14 Machi 2016

WAZIRI MHE NAPE NNAUYE AFUNGUA MKUTANO WA KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAWASILIANO SERIKALINI KATIKA UKUMBI WA VETA MOROGORO LEO TAREHE 14 MACHI 2016

Mhe. Nape Nnauye Waziri wa  Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Mawasiliano kutoka  Wizara, Halmashauri na Taasisi za mbalimbali za kiserikali 

 Mhe. Nape Nnauye Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akifungua mkutano wa 11 wa kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano serikalini katika ukumbi wa VETA, Morogoro.
Maafisa Mawasiliano kutoka Wizara, Halmashauri na Taasisi mbalimbali wakisikiliza kwa makini taarifa inayotolewa na Mhe. Waziri Nape Nnauye

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni