Nav bar

Alhamisi, 24 Machi 2016

ZIARA YA KAMATI YA KUTATHMINI VITALU VYA WAWEKEZAJI KATIKA RANCHI ZA NARCO MKOANI KAGERA

 Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania  Mhe. Kassim M. Majaliwa  akiwaonesha wananchi mchoro wa muonekano wake uliochorwa na wakazi wa Misenyi Bukoba kwenye mkutano wa hadhara katika ranchi ya missenyi.

 Katibu Mkuu Wizara ya kilimo Mifugo na Uvuvi Dkt. Maria Mashingo akiangalia moja ya josho lilojengwa na Mwekezaji kwenye  vitalu vya Ranchi za Narco  

Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba akiangalia ng'ombe  aina ya Borani katika Ranchi ya  Kitengule kitalu na 9 cha Bw. Charles Rwantondogo Bukoba.

 Lambo la maji lililojengwa na mwekezaji kwa ajili ya kunyeshea ng'ombe katika ambapo ni moja ya miundo mbinu katika vitalu hivyo

Baadhi ya wanakamati wakijadili jambo baada ya kuona lambo hilo


 Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba akiangalia jinsi ng'ombe wanavyoogeshwa katika kitalu no 9

Wanakamati wakipata maelezo kutoka kwa wawekezaji (hayupo pichani) juu ya historia ya shamba lake, mafanikio na changamoto zilizopo 


Ng'ombe kutoka Uganda waliongia bila vibali wameshikiliwa katika Ranchi ya Missenyi baada ya kukamatwa wakichunga ndani ya Ranchi za wawekezaji kutoka Tanzania

Wajumbe wa kamati ya kutathmini maeneo ya Wawekezaji katika vitalu vya Ranchi za NARCO wakiwa na aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Bw. John Mongela watatu kulia akifatiwa na Katibu Mkuu Sekta ya Mifugo Dkt. Maria Mashingo


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni