Nav bar

Jumatano, 13 Januari 2016

ZIARA YA NAIBU WAZIRI KATIKA MKOA WA KATAVI NA KIJIJI CHA MWANKULU WILAYA YA MPANDA TAREHE 11 - 12 /01/2016

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo Uvuvi Mhe.William Tate Ole Nasha wa kwanza kushoto akiwa kwenye mkutano wa Chama cha Ushirika cha kati mpanda Mkoa wa Katavi

Washiriki katika mkutano huo wa Chama cha Ushirika wakiskiliza kwa makini maagizo kutoka kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo Uvuvi Mhe.William Tate Ole Nasha


Afia Kilimo wa Mkoa wa Katavi Bw. Innko akimkaribisha Mhe. Naibu Waziri Tate Ole Nasha walipotembelea kijiji cha Mwankulu manispaa ya Mpanda


Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo Uvuvi Mhe.William Tate Ole Nasha akiskiliza malalamiko kutoka kwa Wakulima na wafugaji wa kijiji hicho (hawapo pichani)

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo Uvuvi Mhe.William Tate Ole Nasha akiongea na Wakulima na Wafugaji wa Kijiji cha Mwankulu (hawapo pichani)

Mkuu wa Wilaya ya Katavi Bw. Paza Mwamlima akifafanua  majibu kwa wananchi waliouliza maswali (hawapo pichani)




Bi. Yunis Moses kutoka kijiji cha Mwankulu ameomba mbegu ziwe zinaweza kufika kwa wakati katika kijiji chao


Wanakijiji wa Mkoa wa katavi kijiji cha Mwankulu wakisikiliza ujumbe kutoka kwa Mhe. Naibu Waziri William Tate Ole Nasha


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni