Nav bar

Alhamisi, 9 Julai 2015

KATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI DKT. YOHANA BUDEBA AFANYA MKUTANO NA WATUMISHI WA FETA (WAKALA WA MAFUNZO YA ELIMU YA UVUVI ILIYOFANYIKA MBEGANI - BAGAMOYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba  kushoto Bi. Tabu Chando Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu akifatana na Mtendaji Mkuu wa FETA Bw. Yahaya Mgawe kushoto ni Bw. Mashaka Shabani Afisa Kilimo II pamoja na Bw. ZK Makame Afisa Tawala Mkuu wakiangalia bwawa lenye vifaranga vya samaki 
Moja kati ya bwawa la vifaranga vya samaki wa aina mbalimbali katika eneo la Mbegani Bagamoyo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akiangalia moja kati ya bwawa la vifaranga vya samaki aina ya kambare jinsi  wanavyofugwa kulia ni Bi. Tabu Chando Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu akifuatana Bw. Mashaka Shabani Afisa Kilimo II Idara ya Viumbe kwenye maji  kushoto ni Bw. Abdul Kashaija Pamoja Bw. ZK Makame Afisa Tawala pamoja na Mkuu Mtendaji Mkuu wa FETA Bw. Yahaya Mgawe 


Bw. Mashaka Shabani Afisa Kilimo  Idara ya Viumbe kwenye maji akimuelezea Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba uzalishwaji wa vifaranga vya samaki hao
Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba  na Bi. Tabu Chando Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wakiwa na baadhi ya watumishi wakiangalia bwawa kubwa la samaki

Mmoja wa wafanyakazi Idara ya Viumbe kwenye maji Bw. Abdul Kahaija akionyesha jinsi ya  ulishwaji wa samaki hao

Maboti ya kuvulia samaki yakiwa yametia nanga


Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba na Bi. Tabu Chando Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wakimsikilza kwa makini Mtendaji Mkuu wa FETA akiwasilisha taarifa yake (hayupo pichani).
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bi. Tabu chando akiwaeleza wafanyakazi taratibu Sheria na kanuni za kiutumishi Serikalini
Bw. Godifrey Christopher kutoka Idara ya Ubaharia na Uvuvi (FETA) akitaka kujua sera ya kuajiri kwa Watumishi
Bw. Walilo Yasin Teknolojia wa Samaki (FETA) akiuliza kuhusiana na maslahi ya Mtumishi akiumia kazini

 Bi.  Emakulata Ndalawa kutoka Idara ya Ubaharia na Uvuvi akimshauri Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba  "Mkiuza Meli Mnunue Meli"
Moja kati ya boti kubwa linalotengenezwa kwa ajili ya kuvulia samaki Bahari kuu (Deep Sea)
Mazingira mazuri  ya Mbegani Bagamoyo

Bw. Mashaka Shabani  Afisa Kilimo II Kutoka Idara  ya Viumbe kwenye Maji atoa wazo juu ya Ununuzi wa Mashine ya kuzalishia chakula cha samaki
Bw.  Tukaye Mngonji akiuliza kuhusu utaratibu wa uchangiaji wa bima ya afya serikalini 
Bw. Juma Mkumba akitaka ufafanuzi juu ya  Watumishi wa Umma kukaa sehemu moja kwa muda mrefu katika vituo vyao vya kazi
Bw. Emmanuel Mboge Mhasibu wa FETA akiuliza swala la kupandishwa cheo 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni