Nav bar

Jumapili, 21 Juni 2015

KATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI KATIKA VIWANJA VYA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA TAREHE 21/06/2015



Katibu Mkuuwa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Akiongea na Bi Joyce Daffa ambaye anawakilisha Banda la Huduma za Mifugo katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar-Es-Salaam

Katika picha ni Bibi Mary Yongolo wa Utafiti Ugani na Mafunzo kushoto Bibi Judith Mhina Mwasiliano katikati na Bibi Martha Ngwira wa Uzalishaji Mifugo na Masoko
Add caption

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni