Nav bar

Jumanne, 28 Aprili 2015

SEMINA YA WADAU NA WAFUGAJI WA KUKU KAMPUNI ZA "FARMERS CENTRE NA FARMBRES" ILIOFANYIKA LAMADA HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM TAREHE 26/04/2015


Mgeni rasmi Prof. Dominic Kambarage akifungua semina ya Wadau wa kuku iliyofanyika katika hoteli ya LAMADA mwishoni wa wiki Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Baraza la Vetenary Tanzania Dkt. Beda Masuruli akitoa mada juu ya utoaji wa huduma za Afya ya Mifugo Tanzania

Washiriki wa Semina  ya Wadau na Wafugaji kampuni za "FARMERS CENTRE NA FARMBASE" Wakisikiliza kwa makini
Dkt. Mayela Nicholous akitoa ufafanuzi kuhusu semina ya kuku iliofanyika hoteli ya LAMADA Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa kampuni ya "Farm Base" Bw.Salim Msellem wakibadilishana mawili matatu  na Mkurugenzi wa Baraza la Vetenary Tanzania Dkt. Beda Masuruli.





Mmoja wa wadau wa kuku akitoa maoni yake kuhusu ufugaji wa kuku iliofanyika katika hoteli ya LAMADA

Wafugaji wa kuku wakitembelea maonesho ya makampuni yanayo tengeneza madawa ya vyakula vya mifugo katika viwanja vya hoteli ya LAMADA

Mmoja wa wawezeshaji akiwaelimisha wadau wa kuku waliohudhuria katika Semina ya "FARMERS CENTRE NA FARMBRES" iliofanyika LAMADA hotel Jijini Dar es Salaam.









Hakuna maoni:

Chapisha Maoni