Nav bar

Jumatatu, 27 Julai 2020

DKT. TAMATAMAH AKISAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Hayati Benjamin William Mkapa, Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara baada ya kuhudhuria ibada ya misa takatifu ya kumuombea Hayati Mkapa katika uwanja wa uhuru jijini Dar es Salaam. (26.07.2020)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni