![]() |
| Mama Salma Kikwete Mke wa Rais Mstafu waJamuhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya nne Mh.Jakaya Kikwete akizungumza maneno machache kabla ya Ufunguzi wa maonesho hayo |
![]() |
| Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Dendego akitoa utambulisho kwa wageni waliohudhuria maonesho ya Nanenane Mkoa wa Lindi |
![]() |
| Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba inayosomwa na mgeni rasmi (hayupo pichani) |
![]() |
| Kikundi cha ngoma kikitumbuiza kabla ya ufunguzi wa maonesho hayo katika viwanja vya Ngongo |








Hakuna maoni:
Chapisha Maoni