Nav bar

Alhamisi, 19 Mei 2016

CLIMATE SMART AGRICULTURE (CSA) GUIDLINES NATIONAL VALIDATION WORKSHOP HELD AT MVUVI HOUSE CONFERENCE HALL 8 MAY 2016 DAR ES SALAAM.

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Dkt. Florence Turuka akisoma hotuba ya ufunguzi kwa wadau wa mkutano huo
mmoja wa wahisani kutoka Shirika la Kilimo na Chakula (FAO) akitoa maelezo kwa wadau husika


washiriki wa warsha wakiwa katika vikundi wakijadili na kuchambua mada mbalimbali zilizowasilishwa kutoka kwa wataalamu

mmoja wa wanakikundi akiwasilisha uchambuzi mada zilizojadiliwa katika kikundi chake
mwanakikundi mwingine akiwasilisha vilevile mada iliojadiliwa kwenye kikundi chake


picha ya pamoja ni wadau wa mkutano wa (CSA) katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Dkt. Florence Turuka 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni