| Wabunge wakiangalia moja ya bwawa lililopo ndani ya Ranchi hiyo( Bwawa halipo pichani) |
| Bwawa hili hutumika kunyweshea maji mifugo iliyopo ndani ya Ranchi ya Taifa ya Narco (Bwawa hilo linaitwa YUGO) |
| Baadhi ya ng'ombe aina ya Bohorani waliopo katika Ranchi ya Taifa ya Narco |
| Wajumbe wa kamati ya Bunge ya kudumu wakiangalia ng'ombe (hawapo pichani) |
| Kondoo waliopo katika Ranchi ya Taifa ya Narco |
| Mbuzi waliopo katika Ranchi ya Taifa ya Narco |
| Farasi nao wanafugwa katika Ranchi ya Taifa ya Narco Ruvu |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni