Nav bar

Jumatatu, 22 Februari 2016

MKUTANO WA WAZIRI WA KILIMO,MIFUGO NA UVUVI MHE.MWIGULU NCHEMBA ULIOFANYIKA 21/02/2016 KATIKA KIJIJI CHA DIHOMBO WILAYANI MVOMERO




Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi  Mhe.Mwigulu Nchemba akisaini kitabu cha wageni baada ya kufika katika kijiji cha Dihombo wilani Mvomero




Mhe.Waziri  Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe Dr.Maria Mashingo katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Bi.Betty Mkwassa.


       Baadhi ya wanachi wa vijiji vya Dihombo na                Kambala wakiwa tayari eneo la mkutano






Katibu Tawala wa Wilaya ya Mvomero Bi Veronika  Kinyemi akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe.Betty Mkwassa

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mh.Betty Mkwassa akiwakaribisha wageni waliofika katika mkutano huo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi Dr.Maria Mashingo akitambulisha wageni aliofuatana nao kutoka Wizarani

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Bw.George Lucas Mkindo akieleza mikakati waliyojipangia ili kutatua mgogoro wa wakulima na wafugaji




Mbunge wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Mhe.Sulman Ahmed Sadiq akiongea na wanachi wa Jimbo hilo




Mkuu  wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Dr.Rajabu Rutengwe akimkaribisha Mhe.Waziri ili azungumze na Wananchi.






Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe.Mwigulu Nchemba akiwahutubia wanachi wa Vijiji vya Dihombo na Kambala



Wananchi wakimsikiliza waziri,hayupo Pichani





Mzee Iddi Ally wa kijiji cha Dihombo akimweleza Waziri juu ya uvamizi wa shamba lake lenye Ekari zaidi ya 20 lililovamiwa na Wagaji.







Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Masoko Bi.Anuciata Njombe akiteta jambo na Katibu Mkuu Dr.Maria Mashingo katika kijiji cha Kambala.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni