Nav bar

Jumatatu, 10 Machi 2014

MKUTANO WA WADAU SEKTA YA MIFUGO TAREHE 08/03/2014 KATIKA UKUMBI WA VETA DODOMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya  Mifugo na Uvuvi Dkt Charles Nyamrunda ,akimkaribisha Waziri Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani,kulia kwa waziri ni  Naibu Waziri Ole Telele na pembeni ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo, Maji na Mifugo Mhe Said Mkuwba  
Baadhi ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Mifugo katika Ukumbi wa VETA  Dodoma
Wadau wa Sekta ya Mifugo wakifatilia kwa karibu yale yanayosemwa na Mhe. Waziri hayupo pichani 



Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Mifugo na Masoko Bibi Anuciata Njombe akijibu baadhi ya hoja za Wadau 










MC na Mkurugenzi Msaidizi Bw Mwita  akitoa maelezo wakati wa Kikao cha Wadau wa Sekta ya Mifugo kilichofanyika katika Hoteli ya VETA  DODOMA

Bw Conrad Ndoma Afisa Mazingira katika Idara ya Uzalishaji wa Mifugo na Masoko ambaye ni Sekretarieti ya Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Mifugo  

Khatibu Muhtasi Bi, ................... akiwa katika shughuli zake wakati wa Kikao cha WADAU wa Sekta ya  Mifugo 

Bw Temu Afisa Masoko akibadilishana mawazo na Bibi Doreen Maro ambaye ni muwakilishi wa Bunge Maalum la Katiba 

Bw Temu Afisa Masoko akibadilishana mawazo na Bibi Doreen Maro ambaye ni muwakilishi wa Bunge Maalum la Katiba 






Mdau wa Sekta ya Mifugo kutoka kikundi cha Engteng cha Simanjiro 






















Afisa wa Bunge wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  Bw Mmanda 




Mwenyekiti wa Wafugaji wa Kanda ya Ziwa Bw......................akiwa anafatilia kwa makini maelezo wakati wa kikao cha Sekta ya Mifugo


MKUTANO WA WADAU SEKTA YA UVUVI TAREHE 07/03/2014 KATIKA UKUMBI WA VETA DODOMA

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani akiongea na Wadau wa Sekta ya Uvuvi wakati wa Kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya VETA Dodoma Pembeni mwa Waziri ni Kaimu Mkurugenzi  Bibi Valeria Mushi 

















Muwakilishi wa Benki ya NMB alitoa Mada ya upatikanaji wa Mikopo kwa Wadau wa Sekta ya Uvuvi

Mwakilishi wa Benki ya Twiga BANCOCK ambaye naye aliwakilisha ni jinsi gani Benki yake inaweza kusaidiana na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Bw ....................

Muwakilishi wa Benki ya CRDB BW .................ambaye alitoa tamko la kufungua milango wazi kwa Wadau wa Sekta ya Uvuvi 


Muwakilishi wa Wadau wa Sekta ya Uvuvi kutoka Mkoa wa Tanga  BW Mohamed ambaye anatokea eneo la Deep Sea Tanga


Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi Bibi Valeria Mushi akiwa na Mjumbe na Secretariet ya Kikao cha Wadau ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi upande wa Maji Baridi BW Kajitanus Osewe

Naibu Mkurugenzi Mkuu Bw Rashid Hoza pembeni kushoto akifatilia kwa makini kikao na kati ni Kaimu Meneja Mkuu wa MPRU Dkt Machum  na mwisho ni Kaimu 

Mkurugenzi Msaidizi Bibi Ritha Maly akiandika yanayosemwa na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Wakati wa Kikao cha Wadau wa Sekta ya Uvuvi uliofanyika Hoteli ya VETA Dodoma




Mkuu wa Idara ya Maabara ya Nyegezi Mwanza  Bw Lukanga  akifatilia maelezo yanayotolewa na Mhe Waziri katika Kikao hicho cha Wadau 


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAFIRI Dkt Msigani akisalimiana na Mmoja wa Mjumbe aliyehudhuria kikao hicho cha Wadau wa Sekta ya Uvuvi 


Bibi Ritha Maly Mkurugenzi Msaidizi Uzalishaji Viumbe kwenye Maji  Chumvi