Nav bar

Jumamosi, 17 Januari 2015

ZIARA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT KAMANI NYANDA ZA JUU KUSINI NA MAGHARIBI MWA TANZANIA

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani, akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Momba Mhe  Pembeni ni watendaji wa Wilaya ya Momba na wa Wizara  

Waziri Kamani akitembelea eneo la Tunduma  ambapo Wilaya ya Mumba imekusudia kujenga soko la Mazao yatokanayo na Uvuvi ili kudhibiti Mapato yatokanayo na mazao hayo.

Halmashauri ya Wilaya ya Momba imemtembeza Mhe Waziri Kamani katika Eneo wanalokusudia kujenga soko la mazao yatokanayo na uvuvi

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani (mwenye miwani)  akisaini kitabu cha wageni mara alipofika ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya  Momba Mhe 

Watumishi wa Idara ya Uvuvi kituo cha Tunduma na Wafanyakazi wa Wilaya ya Momba wakimsikiliza Mhe Waziri mara alipopata fursa ya kuongea nao (hayipo pichani)

Mkuu wa Wilaya ya Momba Mhe. akimuonyesha Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt  Titus Mlengeya Kamani, jiwe la Mpaka wa Tanzania na Zambia Tunduma  

Waziri wa maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani akikauia ghala linalotumika kuhifadhia mazao yatokanayo na uvuvi kabla ya kusafirishwa kwenda nchi jirani ya Zambia        
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani akisaini Kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa

Baadhi ya Viongozi waMkoa wa Rukwa wakimsikiliza Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani akiongea nao (hayupo pichani) mara baada ya kupewa nafasi nrasmi na uongozi wa Mkoa
Add caption

Add caption

Mmiliki wa kiwanda cha SAAFI LTD cha Sumbawanga Dkt Christian Mzindakaya  akitoa maelezo ya kiwanda cha kwa Waziri (hayuop pichani) pembeni ni Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimali za Uvuvi Bw Mghulwi

Waziri wa ,Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani Akiangalia baadhi ya shughuli zinzofanyika katika Kiwanda cha SAAFI  LTD

Kiwanda cha SAAFI kinazalisha nyama bora kabisa ambayo inauzwa ndani na nje ya nchi jirani za Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Kongo



Mmiliki wa Kiwanda cha SAAFI Dkt Crisant Mzindakaya kulia  akitoa maelezo kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kanani (katikati) akipata maelezo juu ya ukataji wa minofi mbalimbali ya nyama kwa kutumia mashine inayoonekana kwenye picha



Waziri na Watendaji wa Kiwanda cha SAAFI LTD  pamoja na Mkurugenzi,  Maafisa wa Wizara waliofatana na Mhe Waziri wakiwa katika mavazi maalum yanayotumika katika uzalishaji wa nyama iliyo bora na salama kwa Mlaji

Hilli ni eneo la nje ambapo bidhaa inatolewa ikiwa imeshaandaliwa kwenye minofu maalum na kuwekwa kwenye kontena zinazokubalika kwa usalama wa chakula na kuwekwa kwenye makontena tayari kwa kusafirishwa sehemu mbalimbali za  ndani na nje ya nchi

Magari yanayosafirisha nyama ni maalum kwa uhakika wa Ubora na Usalama wa Chakula

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji Wakuu, na Watumishi wa SAAFI LTD

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani akipata mapokezi na maelezo kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mhe  
























Waziri wa Mmaendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani (mwenye miwani aliyechuchumaa)  akishirikikiana na Wavuvi wa Kasanga Wilaya ya Kalambo  kukarabati Mtumbwi unaotumika kwashughuli za uvuvi na uzalishaji wakipato cha familia na Taifa kwa ujumla

Wingu zito ni matokeo ya kuteketezwa kwa zana haramu za uvuvi zilizokamatwa katia Kituo cha Doria cha Kasanga Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa

Mhe Dkt, Titus Mlengeya Kamani, akikagua eneo la Uvuvi la Kituo cha Kasanga Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa 

Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akisalimiana na Viongozi na  watumishi wa Wilaya ya Nkasi








Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamanialipokaribishwa Mkoa wa Katavi na Mkuu wa Mkoa Mhe .............................(mwenye suti ya blue mbele pembeni mwa waziri )

Mkuuwa Mkoa wa Katavi Mhe ....................................akitoa maelezo ya Mkoa wake kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani (hayupo pichani )



Vichanja vya kuanikia samaki na dagaaa  katika Mwalo wa ................................Wilaya ya  Nkasi



Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani  alipotembelea mualo wa Ikola Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi  katika picha anaangalia vichanja vya kuanikia samaki na dagaa


Umati wa Wananchi uliofurika kwenye mualo wa Ikola huu ni ushuhuda tosha kwamba ujenzi wa mualo wa Ikola utaleta mageuzi makubwa katika kuzalisha mazao bora na salama yatokanayo na uvuvi. Hapo katika picha wakimsikiliza Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani (hayupo pichani akiongea nao)