![]() |
| Bw. Alex kutoka Donkey Suctuary UK akitoa mafunzo jinsi ya kumuandaa punda kabla ya kubebeshwa mizigo ili wasipate michubuko iliyofanyika Mikadi beach resort kigamboni |
![]() |
| Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Animal Welfare Society (TAWESO) Bw. Thomas Kahema akielezea jinsi punda wanavyotakiwa kupewa matunzo kabla hawajabebeshwa mizigo |
![]() |
| Mmoja wa wawezeshaji kutoka MAWO Bw. Richard Itaba akionyesha jinsi punda anavyotakiwa kuwekewa vifaa vyake kabla ya kubebeshwa mizigo |
![]() |
| Punda anatakiwa awe katika hali inayoonekana hapo ili asipate mchubuko wakati wa kubeba mizigo |
![]() |
| Bw. Richard Itaba akionesha baadhi ya Vifaa anavyowekewa punda kabla hajabebeshwa mizigo |
![]() |
| Sanamu ya Punda likiwa katika muonekano baada ya kuvishwa vifaa husika kulia ni muwzeshaji kutoka ASPA Bw. Livistone |
| Dkt. Christine Bakuname Msaidizi wa dawati la Ustawi wa Wanyama akiwashukuru wadau waliofanikisha mafunzo hayo wawe wanaendelea kuelimisha jamii jinsi ya utunzaji mzuri wa wanyama |















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni