Nav bar

Jumapili, 19 Julai 2020

ZIARA YA KATIBU MKUU UVUVI - FETA & TAFIRI


Mkandarasi kutoka kampuni ya PETRA ENGINEERING, Eng. Basem Abu Ghalyoun akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah (wa pili kutoka kulia mbele) wakati wa ziara yake aliyoifanya ya kukagua maendeleo ya ujenzi kwenye taasisi hiyo Dar es Salaam. (16.07.2020)



Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah (kushoto) akioneshwa michoro ya jengo la   Taasisi ya Utafiti wa masuala ya Uvuvi (TAFIRI) wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye taasisi hiyo na Chuo cha Uvuvi (FETA). (16.07.2020)



Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah (wa nne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Menejiment ya chuo cha Uvuvi (FETA) wakati wa ziara yake chuoni hapo. (16.07.2020)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni