Nav bar

Jumatano, 15 Julai 2020

UZINDUZI WA CHANJO ZA MIFUGO 6 KATI YA 13 ZA KIMKAKATI ULIOFANYIKA WILANI MKALAMA - SINGIDA


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akiwahutubia wananchi wa Wilaya ya Mkalama katika kijiji cha Kinyangiri wakati wa uzinduzi wa chanjo sita kati ya 13 za kimkakati uliofanyika katika Kijiji cha Kinyangiri wilayani Mkalama. (10.07.2020)



Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo, Prof. Hezron Nonga kulia akitoa taarifa kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina wakati wa uzinduzi wa chanjo sita kati ya 13 za kimkakati uliofanyika katika Kijiji cha Kinyangiri wilayani Mkalama. (10.07.2020)



Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akishuhudia zoezi la uchanjaji wa ng’ombe wakati wa uzinduzi wa chanjo sita kati ya 13 za kimkakati uliofanyika katika Kijiji cha Kinyangiri wilayani Mkalama. (10.07.2020)


Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Mhandisi Jackson Masaka akitoa taarifa ya hali ya mifugo katika Wilaya kwa Waizri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina katika Uzinduzi wa Chanjo ya magonjwa 13 ya kimkakati uliofanyika katika Kijiji cha Kinyangiri wilayani Mkalama. (10.07.2020)



Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Mhandisi Jackson Masaka akitoa taarifa ya hali ya mifugo katika Wilaya kwa Waizri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina katika Uzinduzi wa Chanjo ya magonjwa 13 ya kimkakati uliofanyika katika Kijiji cha Kinyangiri wilayani Mkalama. (10.07.2020)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni