Nav bar

Jumanne, 24 Oktoba 2017

MHE. WAZIRI ALIKUTANA NA WATUMISHI WA BARAZA LA TAIFA LA HIFADHI NA USIMAMAIZI WA MAZINGIRA NEMC

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akitia saini katika kitabu cha wageni kwenye Ofisi za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC  alipoenda kuagana nao na kutoa neno baada ya kufanya nao kazi kama Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Wizara Mpya ya Mifugo na Uvuvi.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpinaakiwa katika mazungumzo na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC,

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina akizungumza wakati wa kuagana na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC, kulia ni mkaguzi wa Mazingirakanda ya Mashariki Bw. Jafari Chimgege na kushoto ni Dkt. Ruth Rugisha Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Baraza


Picha ya Pamoja Waziri Mpina na baadhi ya watumishi wa Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni