Nav bar

Ijumaa, 15 Septemba 2017

MASHINDANO YA KUVUA SAMAKI YALIYOFANYIKA TAREHE 10/09/2017 JIJINI DAR ES SALAAM

Kaimu Mkurugenzi wa Uvuvi Bi. Fatma Sobo kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Uvuvi akitoa neno kwa wavuvi katika mashindano hayo yaliyofanyika BMU Msasani


Bw. Ally mshindi wa 3 katika mashindano ya uvuvi alipatiwa zawadi na Bi. Fatma Sobo (Kaimu Mkurugenzi) yenye thamani ya Tshs laki tano


picha ya pamoja na wavuvi



Pichani ni mshindi wa kwanza Bw. Issa alievua samaki kilo 75 ambapo alipewa zawadi yenye thaman ya tshs milioni nne na lakitatu kutoka kampuni ya YAMAHA pamoja na zawadi nyingine kutoka Wzarani


Bw. Mohamed Omari mshindi wa pili alipatiwa zawadi yenye thamani ya tshs milioni moja na elfu hamsini


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni