Nav bar

Jumanne, 12 Septemba 2017

KATIBU MKUU MIFUGO ATEMBELEA ENEO LA UFUGAJI MWISA II MULEBA MKOANI KAGERA

Kaimu Mkurugenzi Idara ya uzalishaji na masoko Bw.Victor Mwita akifafanua jambo kwenye mkutano uliofanyika ofisini kwa Mkuu wa wilaya (DC) ya Muleba Mkoani Kagera


Katibu Mkuu Idara kuu ya Mifugo Dkt. Mary Mashingo akitoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zilizoibuliwa na DC pamoja na mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba


Katibu Mkuu Dkt. Mary Mashingo akiwa na timu ya wataalam akionyeshwa baadhi ya ``BICON" ya mpaka eneo la Mwisa II


Katibu Mkuu na baadhi ya wataalamu wakiangalia moja ya Rambo linalochimbwa kwa nguvu ya wananchi katika kijiji cha Itunzi

Katibu Mkuu Dkt. Mary Mashingo akipokea maelezo kutoka kwa mtaalam wa ardhi Bw. Kafero kutoka Mkoani Kagera


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni