Nav bar

Alhamisi, 6 Oktoba 2016

ZANA HARAMU ZA UVUVI ZAINGIZWA NCHINI NA KAMPUNI YA AUSTAN INVESTMENT LIMITED ZAKAMATWA BANDARINI JIJINI DAR ES SALAAM TAREHE 04/062016

Kontena lililokuwa limebeba nyavu haramu za uvuvi likifunguliwa ili zikaguliwe
Muonekano wa Zana haramu za uvuvi baada ya kufungua kontena lilokuwa limebeba nyavu hizo


Nyavu zikiwekwa pemben baada ya kugundulika si halali kwa matumizi ya uvuvi

Kaimu Mkurugenzi wa  Uvuvi Kitengo cha ulinzi wa Rasilimali za Uvuvi AD/FRP Bw. Emmanuel Bulai  akionyesha baadhi ya nyavu haramu zilizoingizwa nchini 


Mkuu wa polisi wanamaji Tanzania Bw. Mboje Kanga akitoa maelezo ya nyavu hizo haramu kwa waandishi wa habari

Kemikali iliyokutwa imeingizwa kwenye mizigo hiyo ya nyavu haramu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni