Nav bar

Alhamisi, 11 Agosti 2016

KILELE CHA MAADHIMISHO YA SHEREHE YA WAKULIMA ILIYOFANYIKA KANDA YA KATI VIWANJA VYA NZUGUNI MKOANI DODOMA

Naibu Wazir wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akihutubia wananchi waliokusanyika katika sherehe ya wakulima Kanda ya kati katika viwanja vya Nzuguni
Mgeni rasmi akitoa zawadi kwa mshindi wa kwanza wa kundi la Wizara za Serikali zawadi ikipokelewa na Mkurugenzi wa Utafiti , Mafunzo na Ugani Dkt. Lymo, H

Mkurugenzi na wataalamu wa Wizara wakionesha vyeti vya Ushindi wa kwanza (1) kwa Wizara za Serikali na nafasi ya tatu (3) kwa washiriki wote wa maonesho
sehemu ya malisho bora yaliyoandaliwa na  kuhifadhiwa kwa ajili ya maonesho katika viwanja vya Nzuguni yajulikanayo kama Hei katika banda la NARCO


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni