Nav bar

Ijumaa, 29 Julai 2016

ZIARA YA NAIBU WAZIRI NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA KAMPUNI YA INTERCHICK MBEZI MAKONDE TAREHE 28/07/2016Mhe.

Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya Interchick iliyopo mbezi

Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akipewa maelezo jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku


Chakula cha kuku
Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akiuliza swali  kwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni Bw. Orson Taylor


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni