Nav bar

Jumanne, 22 Desemba 2015

ZIARA YA MHE NAIBU WAZIRI KATIKA MNADA WA PUGU TAREHE 21/12/2015

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo Uvuvi Mhe.William Tate Ole Nasha akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Pugu Mnadani tarehe 21/12/2015

Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Uendelezaji wa Masoko Bi. Anunciata Njombe akiongea na waandishi wa habari Pugu Mnadani katika Ziara ya Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha 

Josho la kuogeshea ng'ombe ambalo limekaa kwa muda mrefu bila kutumika Pugu Mnadani

Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akiongea na wafanya biashara wa Pugu Mnadani

Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akisaini kitabu cha wageni katika Mnada wa Mbuzi huko Pugu

Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akitembelea Mnada wa Mbuzi

Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akiangalia mipaka na maeneo yaliyouzwa

 Mmoja wa kibarua akimuonesha Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha maeneo mengine yaliyochukuliwa na kujengwa na Wananchi Pugu

jiwe la muda mrefu linaloonesha mpaka kati ya eneo moja kwenda jingine

Baadhi ya nyumba zilizojengwa kwenye eneo la Serikali huko Pugu

Jumatano, 16 Desemba 2015

WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA KILIMO MIFUGO NA UVUVI WAKARIBISHWA WIZARANI TAREHE 16/12/2015

Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba akikaribishwa Wizarani

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate OleNasha akikaribishwa Wizarani




Picha ya pamoja Watumishi wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi wakiwapongeza Waziri Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba na Naibu Waziri Mhe. William Tate OleNasha

Jumatatu, 14 Desemba 2015

NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA KILIMO MIFUGO NA UVUVI AKARIBISHWA KATIKA OFISI YAKE ILIYOPO MVUVI HOUSE

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akiwa Ofisini kwake Jengo la Mvuvi House

Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akimkaribisha Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha (hayupo pichani) Nyuma ya KM ni Afisa Mawasiliano Bw Richard Kasuga



Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi akipata Utambulisho kutoka kwa Afisa Mawasiliano Bw Richard Kasuga ya Watumishi aliofatana nao (hawapo pichani)


Alhamisi, 10 Desemba 2015

WATUMISHI WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI WAMESHIRIKI KUFANYA USAFI KATIKA ENEO LA PUGU MNADANI NA FERI TAREHE 03 DEC 2015

Mkurugenzi wa  manunuzi na Ugavi  Bw. Gastory Lugali na wakishirikiana kufanya usafi na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bi. Tabu Chando


Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Uendelezaji wa Masoko Bi. Anunciata Njombe akifanya usafi

Mkurugenzi wa  manunuzi na Ugavi  Bw. Gastory Lugali akionesha ushirikiano katika kufanya usafi

Mkurugenzi wa  manunuzi na Ugavi  Bw. Gastory Lugali wakifanya usafi kwa pamoja na Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Uendelezaji wa Masoko Bi. Anunciata Njombe

Watumishi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi wakionesha ushirikiano katika kufanya usafi huko pugu mnadani







Wafanyakazi na Watumishi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi wakisafihsa maeneo ya feri jijini Dar es Salaam



Jumanne, 8 Desemba 2015

MKUTANO WA 33 WA CHAMA CHA MADAKTARI (TVA) NA WATAALAM WA MIFUGO (TAVEPA) TANZANIA ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA AICC ARUSHA TAREHE 01-04/12/2015

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Bw.  Fadhili Mkulu akifungua rasmi mkutano huo kwa niaba ya mgeni rasmi. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Filex Tilemba

Baadhi ya washiriki kutoka sehemu mbalimbali wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi (hayupo pichani)

Bi. Mariam mtaalamu wa mifugo kutoka Wilaya ya Ngorongoro akikabidhiwa zawadi baada kushinda maswali ya papo kwa papo na mtaalamu kutoka kampuni za Fambase na Farmers center

Mwenyekiti wa TAVEPA Bw. Salim Mselem kutoka kampuni ya Farmbase na Farmers centre akitoa maelezo ya awali kwa mgeni rasmi kabla ya kufungua mkutano wa chama cha wataalamu wa mifugo nchini (PARAVET) uliofanyika Jijini Arusha

Mkurugenzi wa Baraza la Veterinary Tanzania Dkt. Bedan Masululi kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akielezea kazi zinazofanywa na Baraza za Usajili wa wataalam na madaktari wa mifugo kwa amgeni rasmi (hayupo pichani)alie pembeni yake Bw. Richard Kwitega Katibu Tawala Msaidizi mkoa wa Arusha

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. Richard Kwitega akikabidhi cheti cha Usajili kwa mtaalam wa mifugo

Picha ya pamoja Washiriki wa mkutano wa mwaka, Mgeni rasmi, wataalamu wa Chama cha mifugo ncini, TAVEPA na Wafanyakazi wa makampuni mbalimbali wanaotengeneza madawa ya mifugo

Washiriki wa Mkutano wa mwaka wa Chama cha Madktari nchini wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi (hayupo pichani)

Katibu wa  Chama cha madaktari TVA Dkt. Magwisha akisoma  taarifa ya mwaka kwa Washiriki wa Chama hicho

Mwenyekiti wa Chama cha madaktari wa Mifugo nchini (TVA) Pro.Dominic Kambarage akisikiliza yanayoongelewa kwenye mkutano huo

Mwenyekiti wa TAVEPA Bw. Salim Mselem akimuonesha Bw.  Fadhili Mkulu moja ya madawa ya mifugo yanayotengenezwa na kampuni ya Fambase na Farmers Centre katika viwanja vya VIC Arusha

Picha ya Pamoja ya Mgeni rasmi, washiriki na viongozi katika viwanja vya AICC Jijini Arusha






Alhamisi, 3 Desemba 2015

MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI ULIOFANYIKA TAREHE 03/12/2015 KATIKA UKUMBI WA IDARA YA HABARI MAELEZO DAR ES SALAAM


Bi. Judith Mhina Mkuu wa Kitengo cha  Mawasiliano Serikalini  Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mradi wa SWIOFISH katika Mkutano wa Waandishi wa habari (Press Conference) uliofanyika tarehe 03/10/2015  Idara ya habari maelezo

Watumishi kutoka Wizarani na waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini taarifa hito kutoka kwa msemaji wa Wizara (hayupo pichani)


Bi fatma Sobo Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Uvuvi kulia ni Dkt. Simon Kwange Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi na kushoto ni Bi. Judith Mhina Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wakisikiliza mawswali kutoka kwa Waandishi (hawapo pichani)

Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakisikiliza kwa makini majibu kutoka kwa Wataalamu

Bw. Silas William kutoka Idara ya Ukuzaji Viumbe kwenye maji akitoa majibu kwa Waandishi kuhusu kudhibiti viwanda kuhusianan na nyavu za kuvulia samaki