Nav bar

Ijumaa, 27 Novemba 2015

THE1ST FISH FOR TRADE AWARD IN EAST AFRICA WHICH HELD ON 25 NOVEMBER 2015 AT PROTEA HOTEL DAR ES SALAAM

Bi. toky kutoka Smart Fish Mauritius akiwa karibisha Washiriki katika mashindano hayo yaliyofanyika Protea Hotel (hawapo pichani)


Bi. Mwanaidi Mlolwa Mkurugenzi msaidizi ubora wa mazao ya uvuvi akimkaribisha Mkurugenzi wa uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

Mkurugenzi wa Uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi akiongea na washiriki njia bora za uzalishaji wa samaki


Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akilezea kuhusu mafanikio ya mazao yatokanayo na uvuvi


Bi. Suzan Muga  Mchakataji wa dagaa wa kubanika na moshi kutoka Musoma akijitambulisha

Mmoja wa Wahirki wa mashindano hayo Bi. Beatrice Mmbaga kutoka Musoma anachakata, kusafirisha na kuuza samaki na mazao yake akijitambulisha pia

Bi. Silvia Dotto akijitambulisha ametokea Butimba Mwanza ni mchakataji wa dagaa za kuanika kwa jua

Bi. Rosemary Luhasile  kutoka Kikundi cha uchakataji dagaa kutoka Ukerewe Mwanza kisiwa cha Izinga mshiriki wa masindano hayo

Bw Omary Zuberi akitokea Muleba mchakataji wa dagaa akijitambu;lisha kabla ya mashindano hayo kuanza

Bw. Issa Magani kutoka Muleba  mchakataji wa kukaanga na dagaa wa kukaushwa

Bw. Ally Mohammed kutoka Bukoba ni mchakataji wa mapanki na dagaa na pia anamasoko ndani na nje ya nchi akijielezea kabla ya mashindano kuanza

Bw. Bahati Malembo kutoka Bukoba ni Mvuvi na pia anachakata na kusafirisha dagaa nchini na nje ya nchi



Waschakataji kutoka ziwa Victoria na bahari ya hindi wakisikiliza kwa makini mada inayotolewa na Katibu Mkuu (hayupo pichani)

dagaa zilizokaushwa kutoka kwa wachakata




Wafadhili kutoka European Union katikati ni Bw.  Gianluca Kzzoni wakiangalia bidhaa kutoka kwa mchakataji (hayupo pichani)chini ya mradi wa Smart Fish


Zawadi zilizoandaliwa kutoka kwa smart fish  kwa ajili ya washindi hao

Picha ya pamoja akiwepo Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvui, Wadau, wafanyabiashara wafadhili na wafanyakazi kutoka Wizarani.

Jumanne, 24 Novemba 2015

MASHINDANO YA NGALAWA NA KUOGELEA YALIYOFANYIKA TAREHE 21/11/2015 KIGOMBE PANGANI.

Ngalawa zikiwa zimejipanga tayari kwa  mashindano

Mshindi wa kwanza wa ngalawa akikaribia kusogea nchi kavu

Mshindi wa kwanza wa Ngalawa akisalimiana na  Mkurugenzi wa Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu Bw. Machumu Milali 

Mshindi wa Tatu wa Ngalawa Bw. Balozi Mohammed akipewa pongezi na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi

Bw. Mohamed Mgeni mshindi namba tatu akifurahia ushindi wake

Timu ya waogeleaji ikiwa tayari kwa mashindano

Bi. Anitha Julius Mhifadhi Mfawidhi wa Hifadhi ya Bahari SILIKANTI Tanga akielezea Hifadhi ya Bahari ya Maeneo Tengefu huko  Kigombe

Wananchi wakiangalia mashindano ya kuogelea

Wasindi wa kuogelea wa kwanza kutoka kushoto ni Bw. Abasi Mohammed kutoka Kigombe ni mshindi wa kwanza  katikati ni Bw. Kibwana Masanga kutoka Pangani mshindi wa pili na kulia ni Bw. Daudi Mapungo kutoka Pangani mshindi wa tatu




Ijumaa, 20 Novemba 2015

MAONESHO YA UVUVI YALIYOFANYIKA KITAIFA MKOA WA TANGA TAREHE 19/11/2015 KATIKA VIWANJA VYA TANGAMANO

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akiwasili katika viwanja vya tangamano kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa maonesho ya uvuvi

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika viwanja hivyo

Mkuu wa Wilaya ya Pangani Bi. Regina Njonjo akisaini kitabu cha wageni

Bi. Merisiana Sebastian Afisa Uvuvi Mkuu akimuelezea Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba sera ya uvuvi

Bw. Fredric Francis Afisa uvuvi I akimuelezea Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba kuhusu sera za ufugaji wa samaki

Bw. Omari Mohamed Afisa Mfawidhi akimuelezea Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba kuhusu masuala ya ukuzaji na uzalishaji wa vifaranga vya samaki na viumbe maji

Bw. Ramadhani  Mwiga mdau kutoka Feri Dar akimuelezea Katibu Mkuu  Dkt. Yohana Budeba mazao yanayovunwa kutoka Baharini

Majongoo bahari (Sea cucumber) na Mwani (sea weed) katika ubora wake

Mdau akimuonesha mmoja wa  washiriki zao la mwani baada ya kuvunwa

Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akiangalia dagaa waliokaushwa na jua

Katibu Mkuu akiangalia samaki mbalimbali wanaofugwa kama vile kambale, sato na sangara

Patroba Matiku kutoka TAFIRI akimuonesha Katibu Mkuu Mashine aina ya CTD inayotumika kupima kina cha maji (Depth), kiwango cha jotoridi la maji na kiwango cha chumvi kwenye maji

Picha ya samaki aina ya SILIKANTi anayepatikana Kigombe Tanga

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba kushoto kwake ni  Dkt Herbert Lyimo Mkurugenzi wa Utafiri na Ugani akifatiwa na Bi. Mboni Ngaza Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga kulia kwake Bi. Regina Njonjo Mkuu wa Wilaa ya Pangani wakiwa kwenye maandalizi ya ufunguzi

Vikundi vya ngoma kutoka Tanga

Bi Regina Njonjo Mkuu wa Wilaya ya Pangani akimkaribisha mgeni rasmi

Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akitoa hotuba kwa Wananchi waliohudhuria kwenye siku ya Mvuvi

Mpemba Asili asilia kutoka pemba akighani shairi  kwa ajili ya kuhamasisha na kuelimisha juu utunzaji wa rasilimali za uvuvi katika siku ya Mvuvi

Watoto wa shule wakiburudika na nyimbo mbalimbali