Nav bar

Jumanne, 8 Desemba 2015

MKUTANO WA 33 WA CHAMA CHA MADAKTARI (TVA) NA WATAALAM WA MIFUGO (TAVEPA) TANZANIA ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA AICC ARUSHA TAREHE 01-04/12/2015

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Bw.  Fadhili Mkulu akifungua rasmi mkutano huo kwa niaba ya mgeni rasmi. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Filex Tilemba

Baadhi ya washiriki kutoka sehemu mbalimbali wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi (hayupo pichani)

Bi. Mariam mtaalamu wa mifugo kutoka Wilaya ya Ngorongoro akikabidhiwa zawadi baada kushinda maswali ya papo kwa papo na mtaalamu kutoka kampuni za Fambase na Farmers center

Mwenyekiti wa TAVEPA Bw. Salim Mselem kutoka kampuni ya Farmbase na Farmers centre akitoa maelezo ya awali kwa mgeni rasmi kabla ya kufungua mkutano wa chama cha wataalamu wa mifugo nchini (PARAVET) uliofanyika Jijini Arusha

Mkurugenzi wa Baraza la Veterinary Tanzania Dkt. Bedan Masululi kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akielezea kazi zinazofanywa na Baraza za Usajili wa wataalam na madaktari wa mifugo kwa amgeni rasmi (hayupo pichani)alie pembeni yake Bw. Richard Kwitega Katibu Tawala Msaidizi mkoa wa Arusha

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. Richard Kwitega akikabidhi cheti cha Usajili kwa mtaalam wa mifugo

Picha ya pamoja Washiriki wa mkutano wa mwaka, Mgeni rasmi, wataalamu wa Chama cha mifugo ncini, TAVEPA na Wafanyakazi wa makampuni mbalimbali wanaotengeneza madawa ya mifugo

Washiriki wa Mkutano wa mwaka wa Chama cha Madktari nchini wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi (hayupo pichani)

Katibu wa  Chama cha madaktari TVA Dkt. Magwisha akisoma  taarifa ya mwaka kwa Washiriki wa Chama hicho

Mwenyekiti wa Chama cha madaktari wa Mifugo nchini (TVA) Pro.Dominic Kambarage akisikiliza yanayoongelewa kwenye mkutano huo

Mwenyekiti wa TAVEPA Bw. Salim Mselem akimuonesha Bw.  Fadhili Mkulu moja ya madawa ya mifugo yanayotengenezwa na kampuni ya Fambase na Farmers Centre katika viwanja vya VIC Arusha

Picha ya Pamoja ya Mgeni rasmi, washiriki na viongozi katika viwanja vya AICC Jijini Arusha






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni