Nav bar

Jumatano, 6 Mei 2015

WAZIRI KAMANI AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA KIWANDA CHA NGOZI CHA ASILI ASILIA NA KUKIZINDUA KILICHOPO SALASALA - DAR ES SALAAM


Katika ziara hiyo alipata fursa ya kuzindua kiwanda cha Asili Asilia Kanda hicho kinatengeneza bidhaa mbalimbali zitokanazo na zao la ngozi ikiwa ni pamoja na sandals, mabegi ya akina mama na mikanda.
Mheshimiwa Waziri Dkt. Titus Kamani akisaini kitabu cha wageni baada ya kufika katika kiwanda cha Asili Asilia 
Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb), akikata utepe wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha Asili Asilia kinachomilikiwa na Ndugu. Dedan Munis (mwenye kilemba cheusi) kulia mwa Mheshimiwa Waziri.

Mhe. Dkt. Kamani akiangalia baadhi ya bidhaa zinazozalishwa na kiwanda cha Asili Asilia baada ya kuzindua kiwanda hicho.

Mhe. Dkt Kamani akiongea  na Watumishi wa Kiwanda cha Asili Asilia  baadhi wanaonekana Pichani 

Waziri Kamani Akimkabidhi Cheti cha ........Mmoja wa Watumishi wa Kiwanda Hicho



Mheshimiwa Waziri Dkt. Titus Kamani wakwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kiwanda cha Asili Asilia



Mheshimiwa Waziri Dkt. Titus Kamani akiongea na wafanyakazi wa kiwanda cha Asili Asilia


Baadhi ya ngozi ambazo zipo tayari kwa ajili ya kutengeneza bidhaa zitokanazo na ngozi




Viatu vitokavyo na ngozi katika Kiwanda cha AsiliAsilia





Wafanyakazi wa kiwanda cha Asili Asilia wakitengeneza bidhaa zitokanazo na shanga

Mheshimiwa Waziri Dkt. Titus Kamani akioneshwa begi la ngozi lililotengenezwa na kiwanda cha (Woisso Original Products).






Baadhi ya sehemu ya kushonea bidhaa za cha Asili Asilia katika kiwanda hicho





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni