Nav bar

Jumatano, 1 Aprili 2015

MKUTANO WA WIZARA NA WAANDISHI WA HABARI KIWANDA CHA SAMAKI BAHARI FOOD TAREHE 01 APRILI 2015

Msemaji wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Mohammed Bahari mwenye suti akiongea na Meneja wa Kiwanda cha Bahari Food, alipowasili Kiwandani hapo
Msemaji wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Mohammed Bahari mwenye suti akiwatambulisha Watumishi aliofatana nao katika Mkutano na Waandishi wa Habari
Waandishi wa Habari na Baadhi ya Watumishi wa Wizara Waliohudhuria Mkutano wa Wizara  ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na na Waandishi wa Habari Katika Kiwanda cha Samaki Bahari Food
Baadhi ya Watumishi wa Wizara waliovalia Mavazi Maalum ya Kiwanda cha Kusindika Samaki kutoka kushoto Bi Mwanahamisi Msangi, Laila Kaduma na Bi Grace Pango kabla ya kutembelea ndani Kiwandani
Bi Mwanahamisi Msangi Akitafakari kama atamudu kuvaa Kifunika Pua ili aingie kwenye Kiwanda cha Samaki
Watumishi pamoja na Waandishi wa Habari wakielekea sehemu ya kwanza ya kupokelea Samaki
Waandishi wa Habari  Wakishangaa Uandaaji wa Samaki, Uhifadhi na  Hatimaye Usafirishaji kwenda Nje ya Nchi
Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimali za Uvuvi Bw Baraka Mghulwi Akifatilia Maelezo ya Meneja wa Kiwanda cha Samaki Hayupo Pichani
Meneja wa Kiwanda cha Samaki Akitoa Maelezo kwa Wajumbe Walioshiriki Mkutano wa Wizara na Waandishi wa Habari katika Kiwanda cha Samaki Bahari Food.
Waandishi wa Habari Wakionyeshwa Chumba Maalum cha Baridi kwa Ajili ya Kuhifadhi Samaki

Mmoja wa Wafanyakazi akionyesha sehemu Wanayohifadhi Samaki baada ya kupokelewa kutoka Ziwani
Katika Picha Huo Sio Urembo ni Nguo Maalum za Kuvaa ndani ya Kiwanda cha Samaki
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Samaki cha Bahari Food wakiwa Kazini Wakati Waandishi wa Habari Walipotembelea Kiwanda hicho Kabla ya Mkutano kufanyika Kiwandani hapo.


Sehemu ya kusafisha Samaki aina ya Pweza Wanaosafirishwa Nje ya Nchi Katika Picha Mfanyakazi akisafisha Pweza.



Katika Picha Mfanyakazi wa Kiwanda cha Samaki Akionyesha Pweza Anayesafishwa, Kuhifadhiwa na BaadayeKuwekwa kwenye Boksi Maalum tayari kwa Kusafirishwa
Mwakilishi kutoka Idara ya Habari Maelezo Bi. Fatma Salum akielezea kuhusu Mkutano huo ambao hufanyika kwa awamu
Barafu inayozalishwa kwenye Kiwanda cha Samaki cha Bahari Food kwa ajili ya kuhifadhia Samaki Wasiharibike
Mmoja wa Watumishi wa Kiwanda cha Bahari Food akitoa Maelezo kwa Waandishi wa Habari 
Sehem ya baridi sana wanapohifadhi Samaki kabla ya kupelekwa nje ya nchi
Mwandishi wa Habari Akkishuhudia Chumba Maalum cha Kuhifadhi Hewa ya Baridi
Mmoja wa Wafanyakazi akieleza kuwa Kaa husafirishwa nusu tani mara 2 kwa wiki kwenda Singapole
Mwakilishi kutoka Idara ya Habari Maelezo Bi. Fatma Salum akielezea kuhusu Mkutano huo
Mmiliki wa Kiwanda cha Samaki BAHARI FOOD Bw. Bughati akielezea mapungufu yaliyopo katika Kiwanda chake pamoja changamoto anazokutana nazo katika Usafirishaji

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni