Nav bar

Jumapili, 7 Septemba 2014

SIKU YA TATU WADAU WA SEKTA YA MIFUGO KATIKA MKUTANO MALAIKA HOTELI MWANZA

MKURUGENZI WA TPCF MFUKO WA JAMII YA WACHUNGAJI WA MIFUGO YA ASILI TANZANIA BW JOSEPH OLE PARSAMBEI AKIWASILISHA MADA WAKATI WA MKUTANO WA WADAU WA MIFUGO  MWANZA MALAIKA HOTELI

MKUUWA MKOA WA MOROGORO MHE JOEL BENDERA AKIFATILIA KWA MAKINI MADA ILIYOKUWA INAWASILISHWA
WADAU WA SEKTA YA MIFUGO WANAFATILIA KWA MAKINI MADA ILIYOKUWA MEZANI INAWASILISHWA

MKURUGENZI WA SERA NA MIPANGO WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI BIBI CATHERINE JOSEPH AKIWASILISHA MADA YA UINGIZWAJI WA MAENEO YA KIPAUMBELE YA SEKTA YA MIFUGO KATIKA PROGRAMME YA  MATOKEO MAKUBWA SASA  
KATIBU TAWALA WA MKOA WA MOROGORO KWANZA KULIA  AKIFATILIA MADA KATIKA MKUTANO WA WADAU WA MIFUGO MWANZA

WADAU WA MKUTANO WA SEKTA YA MIFUGO MALAIKA HOTELI JIJI LA MWANZA 
MKURUGENZI WA SERA NA MIPANGP WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI BIBI CATHERINE JOSEPH AKIWASILISHA MADA YA MAENEO YA KUPAUMBELE YA SEKTA HIYO YANAYOTEGEMEWA KUINGIZWA KWENYE PROGRAMME YA MATOKEO MAKUBWA SASA MWAKANI 

MWENYEKITI WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO NA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT TITUS KAMANI AKIFATILIA JAMBO WAKATI WA UWASILISHWAJI WA MAENEO YA KIPAUMBELE YA SEKTA YA MIFUGO YALIYOINGIZWA KWENYE MATOKEO MAKUBWA SASA

KATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA BW MUSSA ULLEDI KULIA AKIFATILIA JAMBO WAKATI WA KUWASILISHWA MADA YA MAENEO YALIYOPENDEKEZWA KUINGIA KWENYE MATOKEO MAKUBWA  SASA
KUTOKA KUSHOTO WAKUU WA MIKOA YA KATAVI DKT RAJABU RUTENGWE, KAGERA  KANALI MSTAAFU  MASSAWE NA RUKWA ENG STELLA MANYANYA 

WAKUU WA WILAYA KUTOKA KUSHOTO CHUNYA MHE, DEODATUS KINAWITO,  HAI MHE NOVATUS MAKUNGA NA RUFIJI MHE  BABU
WAKUU WA WILAYA KUANZIA KUSHOTO RUFIJI MHE BABU, MBULU,  MHE ANATORY CHOYA NA NGORONGORO ELIASI WAWA LALI
JOSEPH OLE PARSAMBEI MWENYEKITI WA TPCF, MUWAKILISHI NA MTETEA HAKI ZA WAFUGAJI WA NGOMBE ZA ASILI AKITOA MADA JUU YA MFUMO WA UFUGAJI WA ASILI NA HAKI ZAO
MKUU WA MKOA WA MOROGGORO MHE JOEL BENDERA AKIFATILIA MADA INAYOTOLEWA KWENYE MKUTANO MTOA MADA HAYUPO PICHANI
MWENYEKITI WA TCPF AKITOA MADA YA HAKI ZA JAMII YA WAFUGAJI WA NG'OMBE ZA ASILI
MEZA KUU KATIKATI MWENYEKITI WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA WA MIFUGO AMBAYE NI WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE DKT TITUS MLENGEYA KAMANI KULIA NI NAIBU WAZIRI WA WIZARA HIYO, KUSHOTO KWA WAZIRI NI NAIBU WAZIRI WA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA  MITAA 
MEZA KUU WA KWANZA KULIA NI KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII BIBI MAIMUNA TARISHI AMBAYE ALIMUWAKILISHA WAZIRI WA WIZARA YAKE   
INSPECTA GENERALI WA POLISI MHE ERNEST MANGU KUSHOTO , KATIKATI MKUU WA MKOA WA MOROGORO MHE JOEL BENDERA NA KATIBU MKUU WA VIWANDA NA BIASHARA BW MUSSA ULEDI  WAKIFATILIA MADA ILIYOKUWA INAWASILISHWA MTOA MADA HAYUPO PICHANI  

 
BAADHI YA WAJUMBE WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO WALIOSHIRIKI MKUTANO HUO MWANZA 

MAKATIBU TAWALA WA MIKOA WALIOHUDHURIA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO  JIJI LA MWANZA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni