Nav bar

Alhamisi, 28 Agosti 2014

BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA ALIPOMTEMBELEA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI

BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA MHE. MARK CHILDRESS WAPILI KUSHOTO AKIWA KATIKA KIKAO NA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS KAMANI WA KWANZA KULIA 
BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA MHE. MARK CHILDRESS AKISISITIZA JAMBO KATIKA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS KAMANI  HAYUPO PICHANI
WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI, MHE. DKT. TITUS KAMANI AKIMKABIDHI  BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA MHE. MARK CHILDRESS BAADHI YA NYARAKA ZINAZOHUSU SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI


BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA MHE. MARK CHILDRESS AKIELEZA JAMBO KWA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS KAMANI BAADA YA KUPOKEA NYARAKA ZA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI 



WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS KAMANI AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA MGENI WAKE BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA MHE. MARK CHILDRESS
WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS KAMANI NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA MHE. MARK CHILDRESS KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAKURUGENZI WA IDARA ZA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI OFISINI KWAKE


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni