Nav bar

Ijumaa, 27 Mei 2011

WAZIRI AZINDUA BODI YA VETERINARY TANZANIA

Msajili wa Baraza la Vetenari Tanzania Dkt Theresia Ponela Mlelwa akitoa maelezo kwa Waziri Mhe. Dkt David Mathayo David

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David akitoa Hotuba ya Uzinduzi wa Baraza la Vetenary Aprili 6 2011 New Africa Hotel Dar-es-salaam

Wajumbe na waalikwa siku ya Uzinduzi wa  Baraza la Vetenary wakimsikiliza Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi hayupo kwenye picha ambao ulifanyika  New Africa Hotel.Aprili 2011

Picha ya pampja ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mh.Dkt Davidi Mathayo david alipozindua Baraza la Veterinary 2011 New Africa Hotel Dar es Salaam.
Waziri wa Maendeleo ya Mjfugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David akikabidhi cheti kwa Mjumbe aliyemaliza muda wake Aprili 6 2011 
Mhe. Waziri akimkabidhi cheti cha kumaliza muda wa ujumbe katika picha  kama   mjumbe wa Bodi ya Vetenerinary Tanzania 
 

Dkt Masuruli akitoa maelezo ya Bango lililopo kwenye picha kwa Waziri Dkt David Mathayo David siku ya uzinduzi wa Baraza la Vetenary April 6 2011


Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David akitoa Hotuba ya Uzinduzi wa Baraza la Vetenary Aprili 6 2011 New Africa Hotel Dar-es-salaam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni